Tuesday 21 November 2017

Mkongwe aliye tamba enzi zake Mr.Nice afunguka haya

Msanii Mr. Nice ambaye siku nyingi amekuwa kimya kwa kutotoa kazi mpya, amejitapa na kusema kwamba kazi zake za mwanzo zilimpa faida kubwa na kuwekeza kiuchumi, kitendo ambacho kimemfanya aishi maisha ya raha sasa hivi.

Akipiga stori na Big Chawa wa Planet Bongo kwenye East Africa Radio, Mr. Nice amesema kutokana na fedha alizopata alijenga nyumba yake mwenyewe, na kwamba mpaka sasa yuko vizuri kiuchumi kani hata kufua hafui kwa mkono bali hutumia mashine, na hata akienda chooni habebi kopo na kusindikizwa na mbwa kama ilivyo kwa watu wengi wa kipato cha chini.

No comments:

Post a Comment

Note: only a member of this blog may post a comment.

TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO 2019

https://youtu.be/3CLxlkAGSw0