Showing posts with label HABARI. Show all posts
Showing posts with label HABARI. Show all posts

Tuesday, 8 May 2018

ABOUT THE COMPANY
Bonite Bottlers Limited (BBL) is Franchise Company operates under lances of Coca Cola Company in USA it deals with bottles and distributes twelve (12) Coca Cola brands of drinks. A subsidiary of the IPP Group of companies, Bonite's main plant is located in Moshi in the Kilimanjaro region of northern Tanzania. BBL also bottles its own brand of bottled water: Kilimanjaro Drinking Water. The company operates in 4 major regions of Northern Tanzania - Kilimanjaro, Arusha, Manyara and Singida.

BBL has over 450 permanent employees, most of them men with only 18 women. Over 300 of the employees are based at the main plant. BBL also employs casual employees, some of whom are employed for periods of up to 6 months. In the peak season (August to Jan/February), there are approximately 400 casual employees and in the low season the number declines to about 200.

COCA COLA BRANDS
Varieties of Coca Cola brands produced by BBL company such as Fanta Orange, Fanta Passion, Spaleta Pinute, Spaleta Citrus, Stoney Tangawizi, Coca cola, Light Coke, Sprite, Bitter Lemon, Seven Up, Fanta Black Currant, Kilimanjaro Drinking Water, Crystal, Club soda, Ginger ale, Tonic.

CLICK HERE to see the available position and follow the application instructions given.

Deadline: 11 May 2018

Wednesday, 22 November 2017

SAYARI YETU MAGAZETI LEO






















Rais mtarajiwa wa Zimbabwe awasili mjini Harare


Rais mtarajiwa wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amerudi nchini humo kutoka Afrika Kusini. 

Anatarajiwa kutoa hotuba yake katika makao makuu ya chama cha Zanu-PF mjini Harare.

Matapeli waibuaka baada ya ujio wa meli ya China



WAKATI upimaji wa afya bure ukiendelea katika meli maalumu kutoka China, baadhi ya wananchi jijini Dar es Salaam wamegeuza shughuli hiyo kuwa mtaji baada ya kuanza kuuza namba za kadi wanazopatiwa.

Aidha, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dk Grace Maghembe amesema tayari watu 6,000 wamepata namba kuwawezesha kuwaona madaktari hao kwa utaratibu unaofaa.

Dk Maghembe alitoa mwito kwa wananchi ambao hawajapewa namba, kusubiri hadi waliopata namba hizo watakapohudumiwa. “Tunawaomba msiendelee kusongana; tumeshagawa namba hadi 6,000, hivyo subirini hawa wapate huduma ndipo tutaangalia kama tutaendelea kugawa namba nyingine kulingana na uwezo wa madaktari hawa,”alisema Maghembe.

Meli hiyo yenye madaktari na wataalamu wa afya zaidi ya 380 iliwasili nchini Novemba 19 na inatarajiwa kutoa huduma hiyo kwa siku tano kwa wagonjwa 600 kwa siku. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alisema amepata taarifa juu ya uwepo wa watu hao wanaofika kwenye meli hiyo kama wagonjwa wanaotaka kuhudumiwa, lakini wakipatiwa namba hizo hugeuka na kuziuza kwa Sh 5,000 hadi Sh 50,000, jambo ambalo ni kosa na kinyume na makusudio.

“Upimaji huo tulisema ni bure na ni makosa kwa mtu kununua au kuuza namba,” alisema. Alibainisha kuwa, baadhi ya wagonjwa wamebainika kutakiwa kusafirishwa kwenda China kupatiwa huduma zaidi hivyo ofisi yake itaandaa utaratibu wa kuwawezesha kusafiri.

Akaongeza, “wagonjwa hawa wanaotakiwa kusafirishwa tutaangalia utaratibu wa kuwasaidia baada ya kupata idadi kamili tutawasaidia kupata hati za kusafiria pamoja na kuangalia utaratibu wa kuwawezesha wakiwa huko kwa matibabu.”

TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO 2019

https://youtu.be/3CLxlkAGSw0